Msanii Bien wa kundi la mziki la Sauti Sol Bien ametangaza kuacha uraibu wa ulaji wa mugoka pamoja unywaji pombe katika maisha yake.
Bien anasema maamuzi hayo yanalenga kuubadili mfumo wake wa kimaisha na kuwa mtu mpya kabisa mwaka huu.
Aidha Bien amesema huenda akachukua break kutoka kwenye mitandao ya kijamii akiitaja kama chanzo cha mwelekeo mbaya wa maisha yake kwa sasa.