Rapper kutoka jijini Nairobi Prezzo amedokeza kwamba hivi karibuni huenda akaingia rasmi kwenye mziki wa injili.
Prezzo anadai kwa mda sasa pia amekua akiguswa saana na nyimbo za injili na ndani yake amekua akiiskia sauti ya mungu ikimuita amhudumie kwenye huduma ya uimbaji.
Aidha Prezzo anasema mafanikio yake yote katika maisha yake kwa mda sasa ni ushahidii tosha kwamba mungu anatenda mema katika maisha yake.