Rapper kutoka Marekani Travis Scott pamoja na mpenzi wake mwanamitindo Kylie Jenner wamebarikiwa kupata mtoto wa kiume.
Kupitia mtandao wake wa instagram Kylie ametangaza habari hizo huko akisema kwamba yeye pamoja na mtoto wako salama.
Wawili hao tayari walikua wamebarikiwa mtoto msichana na mtoo huyu wakiume ni wa pili kwenye familia yao.