Msanii kutoka Tanzania Jux amesema kwamba kamwe hawezi kufuta picha za mpenzi wake wa zamani Vanessa Mdee kwenye mitandao yake ya Kijamii.
Jux anasema kila kitu kilichopo kwenye mitandao yake ya kijamii ni hatua tofauti katik asafari yake ya maisha.
Kulingana na Jux ni kwamba matukio, picha zote zilizopo kwenye mitandao yake ni kumbukumbu kwa kila alichokipitia na haiwezekani kufuta kumbukumbu hizo