Mwanadada Robin Fenty maarufu kama Rihanna ameingia rasmi katika orodha ya Mabilionea duniani.
Kwa mujibu wa Jarida la Forbes, Rihana kwa sasa anashikilia nafasi ya 1,729 duniani akiwa na utajiri wa dola bilioni $1.7.
Rihana sasa ndiye mwanamke tajiri zaidi duniani katika upande wa wanamuziki wa Kike.