Muigizaji marufu nchini Tz Irene Uwoya amezua gumzo nchini Tanzania baada ya kutangaza kwamba anatafuta mtu atakayemuajiri kama mchekeshaji binafsi.
Irene ameeleza kuwa kutokana na uwepo wa shughuli nyingi katika maisha yake, anatafuta mtu ambaye atakua akikaa naye masaa 24 na kumchekesha kila wakati ili kumpunguzia msongo wa mawazo.
Je, unadhani una uwezo kuchekesha mtu ama kuna mtu unayedhani anakipaji cha kuchekesha, mpatie connection ya kazi kwa Irene Uwoya wa Tz.