Home dunia Kitabu Kikubwa Zaidi Duniani

Kitabu Kikubwa Zaidi Duniani

98
0

Makavazi kutoka jimbo la Texas nchini Marekani imefanikiwa kuchapisha kitabu ambacho kimethibitishwa kuwa kitabu kikubwa zaidi kuwahi kuchapishwa duniani.

Kitabu kwa jina “I Am Texas” chenye urefu wa saba, upana wa futi 11 na uzito wa kilo 224  kimeingia katika kitabu cha kumbukumbu za dunia cha Guinness World Record kuwa kitabu kikubwa zaidi kuhawahi kuchapishwa na binadamu.

Kitabu hicho kimechapishwa kwa ushirikiano wa ufadhili baina ya shirika moja kwa jina iWRITE na makavazi ya The Bryan Museum katika mji wa Galveston nchini Marekani.

Previous articleAshikwa Na Polisi Baada Ya Kujirekodi Akila Popo Mtandaoni
Next articleWasayansi Wamuona Ndege Ambaye Hajawahi Kuonekana Kwa Miaka 140.
Teddy Mwanamgambo is a media personality in the coast region. He has worked in different media houses over a period of time.

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here