Jamaa mmoja raia wa Japan ameshangaza wengi baada ya kuthibitishwa kuwa hua analala nusu saa kila sika katika maisha yake.
Daisuke Hori mwenye umri wa miaka 40 anasemekana kulala mda mchache kila siku katika katika kipindi cha miaka 12 iliyopita.
Kulingana na Bw. Hori, yeye hulala 02:30am kabla ya kuamka 03:00am kila alfajiri na kuanza shughuli zake za siku.
Kwa sasa Bw. Hori ameanzisha chama cha walalaji mda mfupi duniani akilenga kuhamasisha watu wengine duniani kulala mda mfupi maishani mwao.