Mwanamke mmoja huko Marekani amewashangaza wengi baada ya kuamua kufunga ndoa na rangi ya pink/waridi.
Kitten Kay Sera kutoka Las Vegas alichukua uamuzi huo baada ya kuwa kwenye mahusiano na rangi hiyo kwa Zaidi ya mika 40.
Katika hafla ambayo ilihudhuriwa na ndugu na marafiki, mwanamke huyo aliupamba ukumbi na rangi hiyo huku mavazi na kila kitu kwenye ukumbi huo kikiwa rangi ya pink