Mwanume mmoja huko Uingereza amezua gumzo baada ya kuweka matangazo barabarani akiwasihi watu wamtaftie mke.
Mwanaume huyo kwa jina Muhammad Malik amesema kwamba licha kwamba anajiweza kifedha amejaribu jitihada zote kupata mwanamke wa ndoto zake lakini imeshindikana na kwa sasa ameamua kuomba msaada kutoka walimwengu kumtamftia mke.
Malik amesema kwamba hana shida na kuchaguliwa mke, bora tu mke huyo awe na vigezo halisi anavyovitafuta.