Raia watatu wa Eritrea wamefariki katika shambulizi la kambi moja ya wakimbizi kushambuliwa katika jimbo la Tigray nchin Uhabeshi.
Kamishna mkuu wa Shirika la umoja wa mataifa kuhusu wakimbizi Filippo Grandi anasema Watoto wawili ni miongoni mwa waliofariki na kuhimiza pande zote mbili katika mzozo wa jimbo la Tigray kuheshimu kambi za wakimbizi.