Jamaa moja raia wa Marekani amekua binadamu wa kwanza kupandikizwa moyo wa nguruwe baada ya moyo wake kukumbwana matatizo.
David Bennett, mwenye umri wa miaka 57, alipandikizwa moyo huo wa nguruwe katika upasuaji wa uliochukua takriban masaa saba katika jimbo la Baltimore.
Madaktari katika chuo cha Maryland Medical Center walikubaliwa kisheria kufanya upandikizi huo baada ya kubainika kwamb Bwana Bennett angefariki baada ya kumaliza njia zote za matibabu zinazofahamika.