Rapper kutoka Marekani Kanye West amezua gumzo baada ya kutishia kwamba atampiga mpenzi mpya wa mkewe wa zamani Kim Kardashian.
Kupitia kipande cha dis track ambacho kilivuja kwenye mitandao Kanye, Kanye West anadai penzi jipya la Kim Kardashian na jamaa wake mpya kwa jina Pete Davidson limeathiri pakubwa maisha yake huku akifichua kuwa limesababishia ugumu wa kuwaona watoto wake aliozaana Kim.
Haya yanajiri baada ya kanye West kuzua vurumai alipofika katika sherehe ya birthday ya mwanawe mmoja aliyezaa na Kim iliyokua ikiandaliwa bila yeye kualikwa.