Mwanume mmoja huko jijini Nairobi amezimia baada ya mkewe kuungana na michepuko yake minne na kumuandalia surprise ya valentine.
Kelvin Waweru mwenye umri wa miaka 36 kwa sasa anaendelea na matibabu katika hospitali ya st joseph center huko westlands Nairobi baada ya kuzimia baada ya mkewe kupanga kisiri na michepuko wanne wa mumewe na kwa Pamoja kumsurprise na Lunchdate.
Kulingana na mke wa jamaa huyo Eunice Nkirothe ni kwamba aliwafuata wanawake wote wanne ambo wamekua na mahusiano na mumewe na wakapanga kuchanga pesa ili wampe jamaa huyo surprise treat ya valentine.
Hadi kufikia sasa Kelvin bado anaendelea na matibabu japo tayari asharudisha fahamu zake.