Binadamu wa kwanza kuwahi kupandikizwa moyo wa nguruwe amefariki miezi miwili baada ya upasuaji.
David Bennett aliyekua na umri wa miaka 57 amefariki katika kituo cha kiafya cha chuo kikuu cha Maryland huku kiini cha kifo chake bado hakijawekwa wazi.
Marehemu alipandikizwa moyo wa nguruwe January 7 mwaka huu.