Msanii Tanasha Dona amezua gumzo mitandaoni baada ya kutangaza wazi kwamba hawezi ku share mwanamume mmoja na mwanamke mwengine katika maisha yake.
Tanasha Dona anasema licha kwamba dini yake inaruhusu swala la uke wenza, yeye hawezi kubali Maisha sampuli hiyo na anachotaka ni kuwa mke wa pekee kwa mume wake.
Kulingana na Tanasha ni kwamba mwanaume yoyote anayetaka kumuoa asahau kabisa wanawake wengine.