Mkahawa mmoja umegonga vicha vya habari nchini Marekani baada ya kuandaa show ya msanii aliyefariki majuzi kama njia moja ya kumuenzi.
Mwili wa marehemu rapper chipkiz kwa jina Goonew ulisimamishwa katika jukwa la kutumbuiza mithili ya wasanii wanapotumbuiza na nyimbo zake kuchezwa huku mashabiki wakiruhusiwa kucheza na kufurahia mziki kama show ya kawaida.
Mwili wa marehemu ulivalishwa nguo zake alizopenda kuvaa anapotumbuiza, kabla ya kukitwa na kusimamishwa mbele ya umati uliofika kwa show yake.